
Polisi nchini kenya wamesema afisa mmoja wa kanisa nchini kenya apigwa risasi na kuuawa hapohapo alipokuwa akielekea kanisani kufanya maombi.
Madhumuni ya mauaji hayo bado hayajajulikana lakini muungano wa makanisa mjini mombasa yamesema kuwa haya yatakuwa ni mauaji ya kidini.
Mauaji ya afisa wa kanisa hilo yanatishia wakaazi wa mombasa waliouanza mwaka kwa amani baada ya machafuko mengi ya mwaka 2014.
Polisi wamesema afisa huyo alipigwa risasi wakati alipokuwa anaenda katika shule moja mjini mombasa kwa ajili ya kufanya maombi.

Mkuu wa upelelezi na uhalifu mjini humo aliejulikana kama 'Ondiek' amesema mtu mmoja aliekuwa na bunduki alifatulia risasi afisa huyo na kufa hapohapo.
Ondiek amesema kuwa polisi kwa wakati huo walikuwa wameshikilia doria shuleni ghafra walisikia sauti za risasi na walipo mfatilia alikimbia katika vitongoji vya kalibu na shule hiyo na kupotea....
No comments:
Post a Comment